Wanafunzi sita wa shule ya msingi, Emaco Vision iliyopo mjini Geita wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi wakiwa darasani huku wengine wakijeruhiwa wakiwamo walimu wawili.
Tukio hilo limetokea leo Jumatano Oktoba 17, 2018 saa 3:30 asubuhi. Wakati mvua ikinyesha na radi kubwa kupiga.
Ofisa elimu msingi, Yese Kanyuma amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo na kusema hadi sasa majeruhi ambao bado wako hospitali ni 25.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )