Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Hassan Abeid Mwang’ombe kuwa PostaMasta Mkuu.
Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Mwang’ombe umeanza tarehe 12 Machi, 2019.
Kabla ya uteuzi huo, Mwang’ombe alikuwa akikaimu nafasi hiyo.
Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Mwang’ombe umeanza tarehe 12 Machi, 2019.
Kabla ya uteuzi huo, Mwang’ombe alikuwa akikaimu nafasi hiyo.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )