Basi la kampuni ya Premier linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Mbeya limegongana uso kwa na lori lenye namba za usajili T486 ANU ambalo lilikuwa likivuta tela lenye namba T 775 APT.
Daktari wa Kitengo cha Dharura katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya Dakta Olivia Masoi amethibitisha kupokea majeruhi 10 wa ajali hiyo, ambapo amesema watu 2 waliodhaniwa kuwa wamekufa katika eneo la Ajari wako hai
Daktari wa Kitengo cha Dharura katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya Dakta Olivia Masoi amethibitisha kupokea majeruhi 10 wa ajali hiyo, ambapo amesema watu 2 waliodhaniwa kuwa wamekufa katika eneo la Ajari wako hai
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )