Rongman ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Ronglan Intl Industry and Trade Co Ltd na mkewe wamekiri kutaka kutoa rushwa kwa bosi huyo wa TRA. Wanandoa hao ni wakazi wa Wilaya ya Mafinga mkoani Iringa.
Wamefikishwa mahakamani leo Jumanne Februari 25, 2020 na kusomewa shtaka moja la kutoa rushwa.
Baada ya kusomewa shtaka lao, walikiri kutenda kosa hilo na
Hakimu Shaidi amesema kesi hiyo itaendelea kesho kwa ajili ya kusomewa maelezo ya awali.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Februari 26, 2020 itakapoendelea na washtakiwa wamerudishwa rumande.
==>>Msikilize Hapo Chini
_______________
==>>Msikilize Hapo Chini
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )