Wizara ya Afya Uganda imesema Dereva mwingine wa Lori kutoka Tanzania (32) amebainika kuwa na corona na kufanya maambukizi ya corona Uganda kufikia 101 kutoka 100.
Dereva huyo aliingia Uganda kupitia mpaka wa Mutukula, waliopona corona Uganda wamesalia 55 na hakuna kifo.
♦️Today,7 May,2020, 1 new COVID-19 case confirmed from 3,091 samples of truck drivers.The new case is a 32 y/o Tanzanian truck driver who arrived from Tanzania via Mutukula border.— Ministry of Health- Uganda (@MinofHealthUG) May 7, 2020
🔸All 718 community samples have tested negative for COVID-19.
🔹Total COVID-19 confirmed cases:101
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )