Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt Faustine Ndugulile, amekanusha taarifa za kwamba yeye ni mgonjwa na hali yake ni mbaya, zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii.
Dkt Ndugulile amezikanusha taarifa hizo kupitia ukurasa wake wa Twitter leo Mei 11, 2020, na kusema kuwa taarifa hizo zipuuzwe kwamba yeye ni mzima wa afya.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )