Makamu wa Rais,Mama Samia Suluhu Hassan, leo Mei 2, 2020, ataongoza mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt Augustine Mahiga, aliyefariki dunia jana.
Dkt. Mahiga mwanadiplomasia mkongwe aliyeitumikia nchi kwa weledi, atazikwa alasiri Tosamaganga, Iringa.
Msemaji Mkuu wa Serikali.Dkt. Hassan Abbas ametoa taarifa hiyo.
Msemaji Mkuu wa Serikali.Dkt. Hassan Abbas ametoa taarifa hiyo.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )