Naibu Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel ameongoza kura za maoni katika Jimbo la Siha, Kilimanjaro kwa kupata kura 148.
Dkt. Mollel amefuatiwa na Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Tabora, Agrey Mwanry mwenye kura 147 huku nafasi ya tatu ikishikwa na Tumsifu Kweka aliyepata kura 53.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )