Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Haji alikuwa Mkurugenzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Zanzibar na anachukua nafasi ya Balozi Ramadhani Mwinyi.
Uteuzi wa Dkt. Haji unaanza leo Julai 18, 2020 na anatakiwa kuwepo Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma Julai 20, 2020 saa 4:00 asubuhi.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )