Waziri Mkuu wa Burundi Jenerali Alain Guillaume ameondoka nchini leo Julai 29,2020 baada ya kuwasilisha salamu za pole kufuatia kifo cha Mzee Mkapa.
Mwenyeji wake Waziri wa Viwanda Mhe.Innocent Bashungwa ndiye aliyemsindikiza uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Dar es Salaam.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )