Waziri mkuu wa Lebanon Hassan Diab ametangaza kujiuzulu kufuatia mripuko wa wiki iliyopita mjini Beirut.
Kwenye taarifa yake fupi kupitia televisheni, waziri mkuu Diab alisema anachukua hatua hiyo ili aungane na watu wa Lebanon na kwa pamoja wapiganie mabadiliko.
Rais Michel Aoun amekubaliana na hatua hiyo ya serikali kujiuzulu.
Wiki iliyopita Diab alimlaumu mtangulizi wake kwa mripuko huo.
Alisema wanasiasa wanatakiwa kuona aibu kwa sababu ufisadi ndio umesababisha janga hilo lililofichwa kwa miaka saba.
Baadhi ya mawaziri tayari walikuwa wamejiuzulu hapo kabla kufuatia maandamano makubwa ya kuipinga serikali kuibuka baada ya mripuko huo kutokea.
Rais Michel Aoun amekubaliana na hatua hiyo ya serikali kujiuzulu.
Wiki iliyopita Diab alimlaumu mtangulizi wake kwa mripuko huo.
Alisema wanasiasa wanatakiwa kuona aibu kwa sababu ufisadi ndio umesababisha janga hilo lililofichwa kwa miaka saba.
Baadhi ya mawaziri tayari walikuwa wamejiuzulu hapo kabla kufuatia maandamano makubwa ya kuipinga serikali kuibuka baada ya mripuko huo kutokea.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )