Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Bi. Mara Warwick alipokutana naye Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo Jumatatu Aprili 19, 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkaribisha Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Bi. Mara Warwick alipokutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo Jumatatu Aprili 19, 2021
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )