Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Albert Chalamila amekabidhi rasmi majukumu ya ofisi hiyo kwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Mwanza Robert Gabriel Luhumbi.
Mhandisi Gabriel anachukua nafasi ya Chalamila ambaye uteuzi wake umetenguliwa mapema leo Ijumaa Juni 11, 2021.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )