Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo imemwachia huru Mousa Twaleb, dereva teksi aliyetuhumiwa kuhusika kumteka mfanyabiashara Mohamed Dewji.
Twaleb ameachiwa baada ya jamhuri kusema haina nia ya kuendelea na kesi hiyo. Dewji alitekwa Oktoba 2018 kwa siku tisa.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )