Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amepata chanjo ya UVIKO-19, ikiwa ni sehemu ya uzinduzi ili ianze kutumiwa na Watanzania katika kukabiliana na ugonjwa wa Corona wimbi la Tatu.
Rais amechanjwa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais amechanjwa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )