Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamemchagua Dkt.Tulia Ackson (CCM) kuwa Spika wa bunge hilo kwa asilimia 100.
Jumla ya kura 376 zimepigwa na wabunge hao ambao ni sana na ASILIMIA 100 kura zote zikienda kwa Dkt Tulia Ackson.
Kiti cha USPIKA kilikuwa na wagombea tisa wagombea hao ni Abdullah Mohammed Said (NRA), Mhandisi Aivan Jackson Maganza (TLP), David Daud Mwaijojele (CCK), Georges Gabriel Bussungu (ADA -TEA), Kunje Ngombale Mwiru (SAU),
Wengine Maimuna Said Kassim (ADC), Ndonge Said Ndonge (AAFP), Saidoun Abrahamani Khatib (DP) na Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )