Aliyekuwa Mkuu wa Idara ya sanaa CHADEMA makao makuu Fullgency Mapunda (Mwana Cotide) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Enzi za uhai wake aliimba wimbo wa chama hicho wenye maneno "CHADEMA People's Power" ambao ni maarufu hadi sasa. Soma taarifa ya chama hicho hapo chini
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )