Kamati Kuu ya CHADEMA leo May 09,2020 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa,Freeman Mbowe, imeanza vikao vyake vya ki-digitali (CHADEMA Digital), vikao vitajadili agenda mbalimbali ikiwemo hali ya corona na Siasa nchini na kufikia maazimio ambayo yatatolewa kwa umma baada ya vikao kukamilika.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )