Ndege ya Shirika la kimataifa la ndege la Pakistani -Pakistan International imeanguka katika mji wa Karachi lipokua ikitoka Lahore, maafisa wa safari za anga wamesema.
Ndege hiyo Chapa PK8303, ambayo ilikua imewabeba abiria 91 na wahudumu wa ndege wanane, ilikua ikisafiri kutoka Lahore kuelekea katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jinnah wenye shuguli nyingi zaidi nchini Pakistan.
Maafisa wamethibitisha watu 97 wamefariki na wawili wapo hai
Ndege hiyo Chapa PK8303, ambayo ilikua imewabeba abiria 91 na wahudumu wa ndege wanane, ilikua ikisafiri kutoka Lahore kuelekea katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jinnah wenye shuguli nyingi zaidi nchini Pakistan.
Maafisa wamethibitisha watu 97 wamefariki na wawili wapo hai
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )