Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kupitia kwa M/kiti wake Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage, imewateua Muttamwega Mgaywa kuwa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Satia Musa kuwa mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais kupitia chama cha SAU.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )