Mgombea wa kiti cha Urais kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Bernard Membe amechukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Agosti 07, 2020 katika Makao Makuu ya Tume ya Uchaguzi (NEC) Dodoma.
Membe aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania katika utawala uliopita chini ya Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete aliongozana na mgombea mwenza, Profesa Omar Fakih Hamad.
Pia, wamesindikizwa na viongozi wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad (mwenyekiti) na Katibu Mkuu wake, Ado Shaibu.
Membe aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania katika utawala uliopita chini ya Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete aliongozana na mgombea mwenza, Profesa Omar Fakih Hamad.
Pia, wamesindikizwa na viongozi wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad (mwenyekiti) na Katibu Mkuu wake, Ado Shaibu.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )