Wizara ya Sheria Marekani imetaka app ya China WeChat ipigwe marufuku applestore/playstore kisa ni tishio kwa usalama.
Wiki iliyopita Wizara ya biashara ilipiga marufuku WeChat lakini Mahakama ikatangaza kuchelewesha vizuizi sababu vitaathiri haki za Watumiaji
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )