Rais John Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Aron Kagurumjuli.
Taarifa iliyotolewa na mkurugenzi wa mawasiliano ta Rais Ikulu, Gerson Msigwa inaeleza kuwa kiongozi mkuu huyo wa nchi ametengua uteuzi huo Jumanne Februari 16, 2021.
Inaeleza kuwa uteuzi wa mkurugenzi mwingine wa manispaa hiyo utafanywa baadaye.
Taarifa iliyotolewa na mkurugenzi wa mawasiliano ta Rais Ikulu, Gerson Msigwa inaeleza kuwa kiongozi mkuu huyo wa nchi ametengua uteuzi huo Jumanne Februari 16, 2021.
Inaeleza kuwa uteuzi wa mkurugenzi mwingine wa manispaa hiyo utafanywa baadaye.
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )