Wanafunzi watatu katika Shule ya Msingi Ngoile wanaoishi Kijiji cha Ngoile wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wamefariki dunia baada ya kuliwa na Simba.
Akizungumza tukio hilo leo Agosti 5,2021 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Justine Masejo amesema watoto hao wameuwa Agosti 3 mwaka huu na amewataja wanafunzi hao ni Olobiko Metui(10),Ndaskoi Sangu(9) na Sanka Saning'o( 10) ambao wote ni wanafunzi wa darasa la tatu
Loading...
Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi
==>>... << BOFYA HAPA Kui Install>>
Mgid
hapa
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )